Skip to content

Hosted by Dailymotion. For legal issues: Copyright Center · DMC · Instant Removal

Maslahi Ya Jeshi La Polisi

E
EbruTVKENYA

0 Views • Feb 07, 2023

Description

Maafisa Wa Usalama Katika Kanda Ya Kaskazini Mashariki Wanatoa Wito Kwa Kikosi Kazi Cha David Maraga Kuangazia Masuala Ya Ustawi Na Usafiri Ambao Wanadai Ndio Changamoto Zao Kubwa.Masala Mengine Yaliyojitokeza Ni Udhalilishaji Na Vyumba Duni Pamoja Na Bima Mbovu Ya Maafisa Hao.Aliyekuwa Jaji Mkuu David Maraga Amekutana Na Baadhi Ya Changamoto Ambazo Maafisa Wanakutana Nazo Miongoni Mwao Vyumba Vibovu Na Ya Kusikitisha Ambayo Sasa Anasema Hali Hiyo Inabidi Kurekebishwa.